Breaking News

Sep 12, 2020

SALAMU KWA MASHABIKI WA BATAROKOTA NAIROBI

 


Msanii wa bongo fleva mkali wa kurap kwa lugha asili ya Tanzania, Batarokota Nsumbantale, amesema kwa sasa yupo katika maandalizi ya mwisho kuelekea uzinduzi wa songi ‘total balaa’ utakaofanyika Octoba 3, jijini Nairobi nchini Kenya.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Batarokota alisema amelazimika kufanya hivyo akitambua kiu ya wadau, 
wapenzi na mashaki wake kutaka kuona vitu vya tofauti siku hiyo katika Ukumbi Brookrine uliopo Gethorai 44 , 
Nairobi nchini Kenya.

Alisema kwa mazoezi anayofanya, anaamini moto ambao atauwasha  siku hiyo, utakuwa kama salamu kwa 
wapenzi na mashabiki wake.Msanii Batarokota ambae mwaka huu wimbo wake wa kwejanga Nyangisha uliingia
 katika tuzo za Kilimanjari Tanzania Music Awards 2014 katika kategori ya `Wimbo bora wenye vionji vya asili 
ya kitanzania` na akuweka kufanikiwa 
kupata Tuzo. Msanii Batarokota hii ni ziara yake ya pili mwaka 2020 kufanya show Nairobi nchini Kenya. 
pia waweza kupata nyimbo wa msanii  Batarokota kupitia tovuti ya
 Mkito.com https://mkito.com/song/kwajaga-nyangisha/550

No comments:

Post a Comment