Mshambuliaji wa Tanzania na Aston Villa Mbwana Samatta
Mshambuliaji wa Aston Villa na Tanzania Mbwana Samatta huenda akaondoka katika klabu hiyo licha ya kujiunga nayo mwezi Januari. Mkufunzi wa klabu hiyo Dean Smith anataka kukifanyia mabadiliko kikosi chake kabla ya dirisha la uhamisho kufungwa.{ Mail Online }

No comments:
Post a Comment