Waandishi wa habari watakiwa kuondoa dhana potofu
Na Mwandishi wetu
WAANDISHI wa habari wametakiwa kutumia taaluma
Wito huo umetolewa mjini
Morogoro na Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, Julai 15, 2026, wakati akifungua warsha ya kuwajengea uwezo
waandishi wa habari pamoja na maafisa mawasiliano kutoka wizara, taasisi za
Serikali na sekretarieti za mikoa kuhusu uandishi na uhamasishaji wa masuala ya
nishati
Akizungumza katika warsha
hiyo, Makamba alisema mafanikio ya ajenda ya nishati
Alieleza kuwa taarifa sahihi
na zinazoeleweka kwa umma ndizo zitakazosaidia kuongeza matumizi ya nishati
"Waandishi wa habari ni
wadau muhimu katika kujenga uelewa wa wananchi. Kupitia habari, vipindi vya
redio na televisheni pamoja na majukwaa ya kidijitali, wanaweza kuhamasisha
mabadiliko makubwa ya kijamii," alisema
Alisema maudhui yanayotolewa kupitia magazeti, redio, televisheni na mitandao ya kijamii yana uwezo mkubwa wa kuathiri maamuzi ya wananchi na hivyo yanaweza kuwa nyenzo muhimu ya kuleta mabadiliko ya tabia.
Naibu Waziri wa Nishati,Salome Makamba kulia akipokea taarifa kutoka kwa mdau namna bora ya matumizi ya nishati safi ya kupikia,katika kukabiliana na uharibifu wa mazingira inayotokana naAlielezea pia uuhimu wa sekta
ya habari kwamba ina nafasi kubwa katika kufanikisha kimkakati katika kuongoza
mapinduzi ya matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini, kwamba vyombo vya
habari na maafisa mawasiliano kutumia taarifa sahihi kuhamasisha wananchi
kubadili tabia za matumizi ya nishati na kuunga mkono utekelezaji wa Mkakati wa
Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia..
Naibu Waziri huyo alisema
hadi sasa matumizi ya nishati
Alisema kufikiwa kwa lengo
Aidha, aliwataka maafisa
mawasiliano wa Serikali kuhakikisha ujumbe wa nishati
Kwa mujibu wa Mhe. Makamba,
matumizi ya nishati safi ya kupikia yanachangia kuboresha afya za wananchi kwa
kupunguza magonjwa yanayosababishwa na moshi wa kuni na mkaa, kulinda mazingira
kwa kupunguza ukataji wa miti, kuchochea uwekezaji, kuongeza ajira na
kuimarisha ustawi wa familia.
Naibu Waziri huyo aliwahimiza
washiriki wa warsha kutumia maarifa watakayopata kuandaa habari na maudhui
yenye ubora yatakayochochea matumizi ya nishati
Alisisitiza kuwa kila mwandishi wa habari na
afisa mawasiliano anapaswa kuwa balozi wa mabadiliko kwa kutumia kalamu, kamera
na majukwaa ya kidijitali kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa nishati
No comments:
Post a Comment